top of page

RAIS WA COMORO AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA JELA




Mahakama nchini Comoro imemuhukumu kifungo cha maisha aliyekua Rais wa nchi hiyo bwana Ahmad Abdallah Sambi.

Rais huyo wa zamani alipatikana na hatia ya makosa ya uhaini kwa kuuza hati za kusafiriria (passport) kwa watu wasiokua na uraia wanaoishi kwenye nchi za ghuba yaani Middlle East.



 
 
 

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page