top of page

Kikongwe alilia mafao yake kanisani.

Daniel Dos santos

Ile adha na kero katika kufuatilia madai mafao baada kwa wastaafu na wanaoachishwa kazi imeendelea kukithiri na kuwa jambo sugu kwa wananchi wengi.


Bibi mmoja kikongwe amefikia hatua ya kuelezea hisia zake juu ya kero kwa kwenda kanisani na kulilia mafao yake.

Kikongwe huyo alikua akifanya kazi katika zahanati ya kanisa kwa zaidi ya miaka 19.

Vyanzo vinaeleza kuwa alistaafu lakini hadi kufikia leo hajapata stahiki zako za mafao yake.

Je wewe ni mmoja kati ya watu waliokumbana na kero hii?

Usisite kutuandikia comment yako ukituambia changamoto ulizokutana nazo.


4 views1 comment

Recent Posts

See All

1 Comment

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
Guest
Jul 26, 2023
Rated 5 out of 5 stars.

Shida sana kwa kweli

Like
bottom of page