FEITOTO RASMI AZAM FCDaniel Dos santosDec 24, 20221 min readRated NaN out of 5 stars.Klabu ya Azam FC imeripotiwa kukamilisha usajili wa kiungo fundi wa Young AfricansFeisal Salum maarufu kwa jina la "FEI TOTO"Nyota huyo wa Tanzania amevunja mkataba kwa kuilipa Yanga kiasi cha Shilingi milioni mia moja kumi na mbili (112 Mil)Azam FC imeweka mezani donge nono kwa nyota huyo ambaye anatarajiwa kupokea kiasi cha mshahara mara tatu zaidi ya mshahara aliokua akilipwa Yanga.
Comments