top of page

SERIKALI YACHEZA HEKO KILIO CHA TOZO

Daniel Dos santos


Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania imehakikishia wananchi kuwa ni serikali sikivu ambapo leo hii serikali kwa kupitia waziri wa fedha mheshimia Mwigulu Nchemba imetoa tamko la kufutwa na kupunguzwa kwa baadhi ya kodi za miamala ya simu na benki.

Waziri amesema jaambo hili litaanza kutekelezwa tarehe 1 octoba 2022.

6 views0 comments

コメント

5つ星のうち0と評価されています。
まだ評価がありません

評価を追加
bottom of page